Wakiwa wanaifanyia kazi album yao ya sita, P Square kutoka Nigeria hawajazungumza maneno ya ziada baada ya kuthibitisha kwamba wamemshirikisha rapper T.I kwenye moja ya nyimbo za hiyo album.
Hizi picha ni wakati wanafanya video ya kolabo yenyewe nchini Marekani.

No comments:
Post a Comment