.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

ALIKIBA NA JAY DEE KUPANDA JUKWAA MOJA NA NICKI MINAJ


Ali Kiba na Lady Jaydee wanatarajiwa kupanda jukwaa moja na rapper Nicki Minaj, Macklemore and Ryan Lewis, J Cole na Kid Ink kwenye tamasha kubwa zaidi kuwahi kutokea barani Afrika, la Tribeone Dinokeng’ litakalofanyika Tshwane, nchini Afrika Kusini mwezi September mwaka huu.
10378148_776635619026578_5357518240846368181_n
Wasanii wengine wa Afrika watakaotumbuiza ni pamoja na Jaguar, Redsan, Nameless na Xtatic wa Kenya, Wizkid wa Nigeria, Fally Ipupa wa Congo, Maurice Kirya, Keko, Naava Grey wa Uganda pamoja na rappers wa Afrika Kusini, Khuli Chana na AKA.
bendi
Tamasha la ‘TribeOne Dinokeng’ limeandaliwa na ROCKSTAR4000 na Sony Music Entertainment na litafanyika 26-28 September.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad