.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

Jeshi la Uganda lime-take over! sasa ndio litaandaa shindano la Miss Uganda.

Screen Shot 2014-08-28 at 8.27.35 AM
Stori hii ya kipekee inatokea Uganda ambapo jeshi la nchi hiyo limeamua kuchukua majukumu ya kuanda mashindano hayo ya Miss Uganda  baada ya kuona ubabaishaji unaofanywa na Waandaaji wa Miss Uganda shindano ambalo halikufanyika kwa miaka kadhaa kutokana na ubabaishaji.
Ripota wa Kampala Bill the African, ameripoti kwamba mmoja kati ya wenye vyeo vyao jeshini ambae pia ni mdogo wake Rais Museven amesema jeshi limeamua kuchukua usimamizi wa mashindano haya kwa madai kwamba ni njia ya kuwavutia vijana wapende kilimo kitakachotangazwa kupitia haya mashindano ikiwa tayari pia jeshi hilo limechukua Wizara ya kilimo kwa ajili ya kuiongoza.
Screen Shot 2014-08-28 at 8.11.06 AMBill alipozunguka mtaani kuwauliza watu maoni yao imekua 30 kwa 70 yani kuna ambao wanaona hakuna shida Wagumu hawa kuongoza mashindano hayo lakini wengine wengi wanapinga wakisema Jeshi hili linajulikana kabisa huwa halicheki na mtu wala halina urafiki na Raia sasa ndio wataweza kuendesha mashindano ya Urembo? ni vitu viwili tofauti kabisa.
Kabla hujaondoka hapa ningependa uniachie maoni yako, ni sahihi kwa kilichofanywa na jeshi?
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad