.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

Arsenal Kumnasa Sami Khedira Mwakani.

Metro wameripoti kuwa timu ya Arsenal imekubali kumlipa Sami Khedira £100k kwa wiki na tayari wanategemea kumnasa mjerumani huyu January mwakani.
Manager Arsene Wenger amekuwa akimfukuzia kiungo huyu wa Real Madrid mwenye miaka 27  kwa miezi kadha sasa na huu ndio muda wa kukamilisha dili lao.
Khedira yupo kwenye mwaka wa mwisho wa mkataba wake na Real Madrid inataka £15 milioni  kabla mkataba wake haujaisha akachukuliwa bila malipo
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad