.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

MARTIN KADINDA KWENDA CHINA KUMUONA JACK CLIFF

Kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Meneja na Designer maarufu nchini Tanzania, Martin Kadinda amepost picha ambayo inaonesha Dolla za kimarekani pamoja na passport, simu na wallet, Pia ameandika maneno ambayo yameashiria kwamba anaenda kumuona Model, Jack Cliff ambae amefungwa kwa kutokana na kukamatwa na madawa ya kulevya huko Macau nchini China. 



Hii ndio Akaunti ya Instagram ya Jack Cliff 

Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad