Sunday, 8 February 2015

Picha: Hivi ndivyo Keki ya birthday ya Neymar ilivyopambwa


Mshambuliaji machachari wa timu ya Taifa ya Brazil, Neymar Junior ambae anakipiga katika klabu ya Barcelona inayoshiriki ligi kuu Hispania, ametimiza miaka 23 hapo jana na hivi ndivyo keki yake ilivyopambwa ...Happy Belated Wishes Neymar Junior 

No comments:

Post a Comment