.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

Breaking News: Mchezaji azimia uwanjani, atolewa akipumua kutumia Oxygen Mask

Medical staff attended to the France international for four minutes before he regained consciousness 

Mchezaji wa klabu ya Swansea City inayoshiriki Ligi kuu Uingereza, Bafetimbi Gomis amezimia uwanjani katika mechi ya Tottenham leo Jumatano na kuhitaji huduma yakwanza.
Mfaransa huyo alianguka chini katika uwanja wa White Hart Lane bila ya mtu yeyote kuwa karibu yake, alitolewa nje kwa machela.
Gomis (29) alitolewa uwanjani akiwa hajitambui.
Usajili huo wakati wa dirisha kubwa kutoka Lyon alizimia wakati wachezaji wakijipanga kuanza mpira baada ya Nacer Chadli kuipa Totenham ushindi wa goli lakwanza.


Bafetimbi Gomis lies face down on the pitch after collapsing during the opening minutes of Swansea's game with Spurs

Gomis alihudumiwa uwanjani kwa dakika 4 kisha kutolewa nje na machela, yakwamba hajitambui na alikuwa akipumua kutumia Oxygen Mask.

Gomis ana historia yakuanguka, kocha wake wazamani akiwa Lyon Jean-Michel Aulas amesema walipata hofu ya mshambuliaji huyo mnamo mwaka 2009



Concerned Tottenham players look on as the Swansea forward is attended to my medical staff

Gomis, who has a history of blacking out, is taken off the field on a stretcher at White Hart Lane 
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad