.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

Argentina watinga Fainali Copa Amerika baada ya kuichapa 6 - 1 Paraguay


Timu ya Taifa ya Argentina imetinga kwa kishindo hatua ya fainali ya Copa America baada ya kuitandika Paraguay kipigo cha mbwa mwizi cha magoi 6-1 katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa usiku wa kuamkia leo.



Mabao ya Argentina yamefungwa na Marcos Rojo (15), Javier Pastore (27), Angel Di Maria (47, 53), Sergio Aguero (80) na Gonzalo Higuain (83), huku goli la kufutia machozi kwa Paraguay likifungwa na Lucas Barrios (43).

Kama kocha wa Manchester United, Louis van Gaal anataka kupata kiwango cha Di Maria, labda amsajili Lionel Messi na kama anashindwa kufanya hivyo, basi amnase Javier Pastore.
Rojo is congratulated by his team-mates Javier Pastore, Sergio Aguero, Martin Demichelis and Nicolas Otamendi (left to right)
Hawa watu walimfanya Di Maria apige soka la kiwango cha juu kutokana na pasi maridhawa walizokuwa wanammegea.
Messi alionesha kiwango kizuri na kujaribu kufunga mara kadhaa, lakini bahati haikuwa upande wake.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad