.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

CHA UVUNGUNI KIPYA....DILLISH AMKANA MWANAUME WA KENYA ALIYEJITOKEZA NA KUDAI NI BABA YAKE



Baada ya mwanaume mkenya Abdi Galgayo Guyo aliyejitokeza jana katika ofisi za Standard Media Kenya na kudai kuwa ndiye baba mzazi wa mshindi wa BBA The Chase Dillish Mathews kutoka Namibia, Dillish amemkana na kusema baba yake ana asili ya Somalia.

Mashabiki mbalimbali wamemuuliza Dillish kuhusu Guyo kupitia twitter, lakini Dillish ambaye ameonesha kushangazwa na habari hizo, saa moja iliyopita ametweet kuwa baba yake ana asili ya Somalia hivyo hajui huyu jamaa ameibukia wapi!


Why is this weird dude claiming to be my dad! My dad is Somali! Where did he fall from haaaaaaai -_-
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad