Jeshi la Polisi kikosi cha kupambana na majambazi kimefanikiwa kumua mmoja kati ya watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi mara baada ya kurushiana risasi na polisi eneo la SUKITA jijini Dar es salaam
Tukio hilo limetokea jumatatu saa tano asubuhi maeneo ya SUKITA na taarifa kutoka eneo hili lina sema kwamba watu hao wanadaiwa kupora kiasi kikubwa cha pesa katika duka moja la jumla na reja reja eneo la vingunguti jijini Da es salaam

Taarifa zinasema majambazi hayo yalikua manne na walikua wanatumia usafiri wa piki piki ..mara baada ya kupora pesa hizo wananchi waliwazingira na ndipo mmoja wao alipo toa pesa hizo na kuzirusha hewa na hapo ndipo wapipo pata mwanya wa kutoroka eneo la tukio
Hata hivyo taarifa ziliwafikia Polisi ambao walikua Doria na polisi hao walipewa taarifa kwamba wanaelekea SUKITA ndipo walipo waekea mtego na kuwanasa katika harakati za kutoroka walikua wana wapiga risasi polisi ndipo hapo mmoja wao akapigwa risasi ya kichwa na kufariki papo papo...ila wengi walipotelea pasipo julikana
Tukio hilo limetokea jumatatu saa tano asubuhi maeneo ya SUKITA na taarifa kutoka eneo hili lina sema kwamba watu hao wanadaiwa kupora kiasi kikubwa cha pesa katika duka moja la jumla na reja reja eneo la vingunguti jijini Da es salaam
Taarifa zinasema majambazi hayo yalikua manne na walikua wanatumia usafiri wa piki piki ..mara baada ya kupora pesa hizo wananchi waliwazingira na ndipo mmoja wao alipo toa pesa hizo na kuzirusha hewa na hapo ndipo wapipo pata mwanya wa kutoroka eneo la tukio
Hata hivyo taarifa ziliwafikia Polisi ambao walikua Doria na polisi hao walipewa taarifa kwamba wanaelekea SUKITA ndipo walipo waekea mtego na kuwanasa katika harakati za kutoroka walikua wana wapiga risasi polisi ndipo hapo mmoja wao akapigwa risasi ya kichwa na kufariki papo papo...ila wengi walipotelea pasipo julikana
0 comments :
Post a Comment