.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

BREAKING NEWS: WATU 89 WAMEFARIKI KATIKA DARAJA

 
 Watu 89 wamepoteza maisha , wanawake 31 na watoto 17 inasemekana wameuwawa baada ya kundi la watu kuwakanyaga katika sherehe kwenye matemple huko India

89 people are believed to have been killed in the stampede.
watu hao walikanyagwa baada ya watu kuanza kusema yakwamba daraja walilokua wakivuka mda huo lilikua linaanza kuanguka ndipo purukushani ikaanza na watu hao 89 kupoteza maisha baada ya kukanyagwa na wenzao
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad