.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

BAADA YA POST YA STEVE NYERERE KUHUSU KULAUMIWA KWA RAY HII NDO MOJA YA COMMENT YA MDAU

Salim El-maamir · · Top Commenter · Works at Tanfeedh
steven kwa point hiyo uliyoitoa ya kutazama nani anajitoa na nani hajitoi katika misiba ya wenziwe moja kwa moja inaonyesha kuwa uo uongozi umepewa tu lakini hustahiki kwa sababu ukiwa kama ni kiongozi nilazima uzingatie sheria na haki huwezi ku inforce sheria ukasahau haki ya mhusika iwe kweli wema hahudhurii misiba ya wenziwe lakini nyinyi hamna utakatifu wa kumtoa mtu kwenye giza na kumweka kwenye nuru bali mna wajibika kutoa influence ili muhisika ajielewe kwa ustaarabu mutakao muonyesha na naamini kwa vile ni mtu mstaarabu angeweza kukiri makosa yake na angeweza kuomba radhi lakini mulicho kifanya ikiwa RAY au WEWE unahusika sio kitu cha kiungwana hata kidogo kuweni na upeo wa kifikira ua hikma mnapofanya maamuzi mazito kama hayo mimi mungesusia harusi au sherehe nyengine ata isngekuwa issue sana lakini msiba ni jambo la kipekee na linahitaji kufikiriwa kiubinaadamu mungu awaongoze na awaondoshee chuki baina yenu huo sio mwendo mzuri.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad