Hivi karibuni maafisa wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Trudeu huko Montreal, Canada wamemkamata mwanamke mmoja aliyejaribu kupitisha dawa za kulevya aina ya Cocaine zilizofichwa ndani ya maboga matatu.
Maafisa usalama wa uwanja huo wamesema walimtilia mashaka abiria huyo mwanamke aitwaye Mercedes Jerez Farias (26) kutokana na maboga hayo kuwa na uzito zaidi ya ule wa kawaida kwa maboga ya ukubwa huo.
0 comments :
Post a Comment