.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

RONALDO APIGA HATRICK,IBRAHIMOVICH APIGA MBILI LAKINI URENO YAFUZU KOMBE LA DUNIA

ronado_7a41e.jpg
Mabao matatu yaliyopigwa na Cristiano Ronaldo yameivusha Ureno kucheza Kombe la Dunia mwakani. Ushindi huo wa mabao 3-2 dhidi ya wenyeji Sweden ambao nao mabao yao mawili yalifungwa na nahodha, Zlatan Ibrahimovic. Katika mechi ya kwanza, Sweden ikiwa ugenini ilikutana na kipigo cha bao 1-0. Ureno ilianza kupata bao kupitia Ronaldo, wenyeji Sweden wakasawazisha na kufunga mabao mawili kupitia Ibrahimovic. Lakini Ronaldo alipiga mabao mawili harakaharaka na kumaliza kabisa matumaini ya wenyeji.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad