.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

IRENE UWOYA NA KASHESHE LAKE LA KUPOST PICHA YA VIN DIESEL BADALA YA PAUL WALKER INSTAGRAM.


Ilianza na Huddah wa Kenya na sasa ni Irene Uwoya wa Tanzania. Jamani huyu dada alipost hii picha Instagram  ya mkaka wa watu ambaye bado yuko hai na kunadika ujumbe kama mnavyo uona hapo juu. Kiufupi ni kwamba Irene alijichanganya na kudhani huyo Vin Diesel ndo amefariki au sijui alidhani ndo Paul Walker hahahaha. 

Basi bi dada baada ya hapo watu wakaanza kumshambulia sababu ya kukurupuka na habari amabazo hata hazijui. Baada ya muda Irene akagundua kosa lake na kuitoa hiyo picha lakini haikuishia hapo Irene akaamua akapost  picha mnyao iona hapo chini nakuandika ujumbe chini yake ambao pia umeacha fans wake wakiendelea kumshambulia. 
Hizi ndo baadhi ya comments za fans bada ya kupostmessage hiyo hapo juu.
xabecassie#instamakavu
zizu936gmailcomUna akili ht makosa yko huyajui ujielew kabisa dhana ya mwnye akili ni zaidi ata ya akili ya mjinga pumnv wee
drcarinyo120Fickooof....malaya am done.......
drcarinyo120I mean fuck off... de michael am out.. ..nitibue utakavyo......am done with her...
zarajamaWw @ireneuwoyaonepieceintown kwa kweli I have seen your movies and lets me tell you, Irene my dear you don't know how to act kabisa, iam actress too hapa Denmark I know what I see one. I have big respect marehemu kanumba and wema aunty and many more
jackson49511Pole dadang hzo ni changamoto na zkupe fursa ya kusonga mbele!
iambethadenHata km ni mtu wak wa karib hukupaswa kuweka picha yk wkt msg ni kumtakia kifo chema mtu mwngine....ulibugi we kubal tu,omba msamah...umeona sasa watu wanamwandika vby mpk mwanao......kua dada
chaliiyasowetoHuyu @mollelreachmenwakimasai acha 2chafulia sifa wana kaskaz ha2saport Mapongo cc
bongosuperHiiii umeitoaaa kwakwa yani kufa afe sharo rip apewe majuto masunuraa
careniiiiBwahahahah @minalkher_ meona huyu kishumundu alichopost ni shidaaa @jacqueben upo wap?
careniiii@ireneuwoyaonepieceintown hihihiiiii poyeeeee bora kupewa akil na cyo limwil likubwa
jacquebenHahaha uwiiiiiii iiii mbavu zangu huhuh.. @careniiii
careniiiiKatisheeeee @jacqueben
jacquebenMetisherrrrrrr ....norma sanaaaaaaa....huhu...
careniiiiNoumaaaaa sanaaaaa
mollelreachmenwakimasai@chaliiyasoweto. We. Umekosa kazi mama ako anateseka kushika nyama na mapaja unaleta utukunyeema sowetoo ipi we unaijua wewe. Unataka kuona watu wamechafukwa na roooo heee acha uka haba nafagilia toa uteejaa pumbavu vunja iyooo. Pua weewe chuga nyie wakuja tu hapa unataka ulete umangaaa ntakutoa kishipa soweto soweto sasa iv enz za kina ,,,kck,na ucngzi nusu ya kifo wewe mulize big atakuambia me ni nani wee chunga ntakupga shaba ya macho wewe
Watu wote huwa tunakosea binafsi sijaona kosa la watu waliomkosoa baada ya yeye kupost habari zisizo na ukweli. Irene angetakiwa tu kucalm down na kuapologise mambo yangekuwa sawa na siyo kusema watu wanamchukia.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad