.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

MAMA KANUMBA AFUNGUKA KUHUSU UHUSIANO WAKE NA LULU.

Lulu na Mama Kanumba
MAMA wa marehemu Steven Kanumba, Frola Mtegoa ameibuka na kueleza kuwa, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ni mkwe sahihi kwake kwa namna alivyo na heshima na anavyomjali kama mama yake.

Akizungumza wikiendi iliyopita nyumbani kwake, Kimara - Temboni, Dar, mama huyo alisema, kama mwanaye angekuwa hai angekuwa amepata mke bora wa maisha yake, naye pia alikuwa na mkwe sahihi.

“Najua mtoto wangu ametangulia mbele za haki lakini faraja anayonipa Lulu ni kubwa mno na najisikia furaha. Kama Mungu angemwacha Kanumba hai mpaka leo kwa kweli Lulu angekuwa mkwe bora sana kwangu.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad