MCHEZA SHOO MAARUFU AKILI UKIMWI KUWATEKETEZA, ASEMA MAPEDESHEE WENGI MJINI WAMEARHIRIKA GONJWA HILO NOMA DUNIANI..!



HII ni hatari. Wakati ugonjwa wa Ukimwi ukielezwa
kuwa bado hauna tiba, mcheza shoo maarufu katika bendi za muziki wa dansi
nchini, Titi Mwinyi ameibuka na kudai kuwa wasichana hao wana wakati mgumu
kukwepa vishawishi kutoka kwa watu wenye fedha, maarufu kama Mapedeshee. Akaongezea na kusema Mapedeshe wengi hapa bongo ndio wanaongoza kwa kuwa na gonjwa la ukimwi na wamekua wakitongoza wanawake ili kuwaambukiza gonjwa hilo ambalo halina shida
About feisal pinto
Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
0 comments :
Post a Comment