.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

NISHA AZUIWA KUTOKA NJE

STAA wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amezuiwa kutoka nje kutokana na sheria na taratibu zilizopo ndani ya familia yao nyumbani kwao Zanzibar.

Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, Nisha baada ya kufika nyumbani kwao visiwani Zanzibar, amekuwa hatoki nje kwani nduguze wamemwambia sheria hairuhusu kutokatoka nje bila sababu za msingi.
Nisha alipoulizwa kuhusiana na taarifa hizo, alitiririka:
“Kweli kwetu ni geti kali hakuna kutoka nikishafika huku ni fulu kukaa ndani na kuvaa hijabu mambo ya Dar nayaacha hukohuko hivyo hata sijui kinacho-endelea Dar labda mtu anipigie simu ndiyo napata taarifa,” alisema.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad