.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

PICHA 7 ZA KIWANJA KIPYA CHA ROMA

On the move: Roma have unveiled designs of their proposed new Stadio Della Roma stadiumRoma inayoshiriki ligi kuu la Italia (Seria A) wamedhilisha mpango wao wakutengeneza kiwanja kipya, kiwanja hicho ambacho kwa sasa wamekipa jina la 'Stadio della Roma'. 

Waandishi waHabari wakipiga picha wakati ufunguzi wa mpango wa kiwanja hicho kipya

Kiwanja hicho kipya kitakuwa na uwezo wa kuchukua mashabiki 52,500 huku kikiwa na uwezo wa kubeba hata mashabiki 60,000 kwenye mechi kubwa.

Old and new: The 52,500 capacity stadium has been inspired by the Roman Colosseum

Kiwanja hicho kitaigharimu Roma kiasi cha Euro million 300, huku inakadiriwa kuwa kiasi kitapanda ukijumlisha na Usafiri pamoja na matunzo. oma ambao wanatumia kiwanja (Stadio Olimpico) na Lazio

Intimacy issues: Fans will no longer be separated by an atheltics track as at the Stadio Olimpico
Hiki ndio kiwanja wanachotumia sasa Roma pamoja na lazio


Muonekano wa kiwanja hicho umetengenezwa na Mchoraji wa Kimarekani, Dan Meis, ambae amechora michoro ya viwanja vingi nchini Marekani, na kiwanja cha Saitama kilichopo Japan.

 Men in black: Roma coach Rudi Garcia (R) and players Francesco Totti (L) and Danielle de Rossi attend the launch
 Kocha wa Roma  Rudi Garcia (kulia) na wachezaji Francesco Totti (kushoto) and Danielle de Rossi katika uzinduzi wa mpango wa kiwanja kipya


Huku pia kutakuwa na kiwanja cha mazoezi nje ya kiwanja hicho kipya, Pia kiwanja hiki kipya kitawafanya mashabiki kuwa karibu.

Raisi wa timu hio Ames Pallotta amesema kiwanja hicho kinategemewa kuwa tayari kutumika msimu wa 2016-2017
Kiwanja wanachotumia Roma kwa sasa ambapo mashabiki wanakuwa mbali na mpira unapochezeka....


Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad