.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

YAWEZEKANA HUU NDIO UKAWA MWISHO WA VICTOR VALDES NDANI YA BARCELONA

Despair: Victor Valdes lies in agony on a stretcher after his injury against Celta Vigo

Yawezekana maisha ya Victor Valdes ndani ya Barcelona yakawa ndo yamefika Ukingoni, Valdes ambae ni kipa namba moja wa Barcelona ambae kwa sasa ni majeruhi.

Anguish: Barcelona players look concerned as the keeper lays stricken on the turf
Wachezaji wa Barcelona wakimuangalia Kipa wao baada kuanza kupiga kelele za maumivu


Valdes alipatwa na Majeruhi wakati timu yake ya Barcelona ilipokutana na Celta Vigo usiku wa Jumatano, Madaktari wa timu hio wamesema valdes anahitajika kufanyiwa upasuaji wa goti baada ya kuumiza misuri ya ndani baada kutua vibaya alipokua akiokoa mpira katika dakika ya 23.

Valdes alitolewa nje ya Uwanja katika dakika ya 23 huku akionekana na maumivu makubwa sana.

Trouble: The injury was a big blow to both Barcelona's La Liga and Champions League hopes
Victor Valdes akitolewa Nje ya uwanja baada ya Jeraha hilo


Barcelona kupitia mtandao wao wameandika 'Valdes aliumia goti baada ya kutua vibaya akiwa anaokoa faulo iliopigwa na Augusto.

'Madaktari wamesema Valdes aliumia goti lake la kulia na kumfanya aombe kutolewa nje ya Uwanja'

Pain: Valdes was forced to leave the field on a stretcher with a cruciate ligament injury
Valdes akionekana mwenye maumivu wakati akitolewa nje ya Uwanja


Valdes ambea alijuinga na barcelona akiwa na miaka 10, na kuanza kuitumikia timu hio 2002 alipelekwa moja kwa moja hospitalini baada ya kutolewa uwanjani huku mchezo huo ukiendelea baada ya kipa namba mbili Pinto kuchukua nafasi yake.

Unhappy ending: With Valdes leaving the club in the summer it will be his last game in a Barcelona shirt

Valdes atakua nje kwa miezi kadhaa huku zikiwa zimebaki mechi 6, pia inajulikana kwamba valdes ataondoka mwisho wa msimu mara tu baada ya mkataba wake kuisha.

First choice: Valdes had been in good form for the Catalans despite his plans to leave the club
Valdes akionekana mwenye maumivu baada ya kutua wakati akiokoa mpira wa faulo uliopigwa na Augusto

Barcelona wanaruhusiwa kusajiri golikipa kama usajiri wa mkopo wa dharura  kutoka timu yeyote ile katika ligi ya Hispania (La Liga)ila kocha wa timu hio Martino amesema hato sajiri kipa yeyote kwa sasa, na kwamba ataendelea na kundi hilo lililopo sasa.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad