| Wachezaji pamoja na viongozi wakiwa wanaelekea kwenye Kuuaga mwili wa aliekuwa kocha wao wa zamani Tito Vilanova aliefariki kwa matatizo ya Cancer |
| Wachezaji wa barcelona, msatri wa Mbele ni wakongwe kutoka kushoto ni Kipa Valdes,Puyol,Xavi na Iniesta katika hafla ya kuuaga mwili wa kocha wa aliekufa kwa matitzo ya cancer ya koo |
| Wachezaji wa Barcelona ambao ni marai wa Kibrazil wakielekea kwenye kuuaga mwili wa Kocha wao Tito Vilanova, kushoto ni Neymar na kulia ni alves |
| Tito Vilanova amefariki akiwa na miaka 45 baada ya kupatwa na matatizo ya Cancer ya kOOkwa kipindi kirefu |
0 comments :
Post a Comment