.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

FLORA WA H.BABA AFUNIKA KWA MAUNO

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Flora Mvungi amenaswa akiwafunika vibaya mastaa wenzake kwa kunengua.
Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Flora Mvungi.
Mpambano huo usio rasmi ulichukuwa nafasi wiki iliyopita katika Ukumbi wa New Maisha, Masaki jijini Dar ambapo kulikuwa na shoo maarufu kwa jina la Bunyerobunyero.
Flora alipoulizwa na mwanahabari wetu juu ya ufundi huo wa kucheza Kibao Kata kilichokuwa kikipigwa na kuwazidi mastaa kama Kajala Masanja, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na Halima Haroun ‘Kimwana’, hakuwa tayari kujibu zaidi ya kuendelea kukatika.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad