Swala hili limetokea mara nyingi kwa watu maarufu, Mtu maarufu ambae hukutwa na mkasa huu sana ni Kate Middleton ambae ni mke wa mwana-mfalme wa Uingereza, George alipatwa na mkasa huu mwaka 2011,
hapo juzi mke wa mwana-mfalme George wa Uingereza alipatwa na mkasa huo wakati akiwa anashuka kwenye ndege walipiokua na ziara nchini New-Zealand (Kwa picha za Kate Middleton shuka chini)
Kate Middleton mwaka 2014 huko New Zealand |
Kate Middleton mwaka 2011 |
0 comments :
Post a Comment