Hii imetokea siku zilizopita sasa katika pita pita zangu nikakutana nayo nikashindwa kuelewa, basi nikaenda kwenye profile ya gillsaint basi nikakuta ni mwanaume, nikarudi kwenye io post ya Hamisa Mobeto Masaa 23 baadae lakini nikakuta bado hajabadilisha wala hajatoa, sasa izo comments watu walizotoa ikawa noma huku mtangazaji maarufu wa Clouds FM perfectCrispin akiuliza swali la kwanza kuhusu maneno hayo..... picha alioweka Hamisa na maneno alioandika ndo hayo hapo chini...... aya jurge na wewe
.
.
shop now
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)



0 comments :
Post a Comment