Sunday, 4 May 2014

MAYWEATHER ASHINDA, LAKINI AKIONA CHA MOTO

Bado hapigiki: Floyd Mayweather akipambana na Marcos Maidana alfajiri ya kuamkia leo ukumbi wa MGM Grand, Las Vegas Marekani katika pambano la uzito wa Welter. Mayweather alishinda kwa pointi, lakini alitolewa jasho na mpinzani wake huyo
 
Attack: Maidana came out with all guns firing from the opening bell to take the fight to Mayweagther
Maidana akimtupia konde Mayweagther
 
Is this wrestling? Maidana's rough tactics upset Mayweather as he suffered his toughest fight in years
Hii ni mieleka? Maidana akimchezea rafu Mayweather 
 
Still go it: Mayweather celebrates after recording a majority victory over the tough Maidana
Bado mali yake: Mayweather akisherehekea na mataji yake baada ya pambano

No comments:

Post a Comment