.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

RIHANNA NUSURA AFUNGIWE INSTAGRAM,... APEWA ONYO KALI SANA

 
Baada ya msanii mwenye jina kubwa Duniani, Rihanna ambae amekuwa kwenye headlines baada ya kutupia kwenye mitandao picha zake zisizokuwa na maadili,




Instagram
Rihanna mwenye wafuasi 12,812,294 kwenye ukurasa wake wa Instagram alipewa onyo na wamiliki wa Instagram mara baada ya kuweka picha sizizokua na maadili kwenye ukurasa wake,
Picha hizo

Instagram walimlazimisha Rihanna atoe picha hizo na kisha kutoweka picha hizo kwani watamfungia akaunti yake milele... 

 Rihanna alitoa picha hizo mara baada ya kupata onyo hilo kutoka Instagram na kisha kuzitupia picha hizo zote kwenye account yake ya twitter ambayo anawafuasi millioni 35.1 ,......
http://feisaljumapinto.blogspot.com/
Twitter

Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad