.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

SIRI YA FICHUKA: DIAMOND, VICTORIA KIMANI NA OMMY DIMPOZ WAPO UINGEREZA, MPANGO MZIMA INSTAGRAM, WEMA SEPETU ACHARUKA

Unaambiwa Dunia haina siri, sasa ile siri waliokua wakiiweka kati wanamuziki Diamond Platnumz, Ommy Dimpoz pamoja Victoria Kimani basi imeshajulikana.... 

UTANGULIZI
Unajua ilikua iwe suprise kwa mashabiki yani Video itoke alafu ijulikane walikua wameenda Uingereza kufanya shooting sasa katika pita pita ya mtandao huu wa Blog ya Vijana umekuta picha iliowekwa wenye akauti ya Babu Tale ambae nae yupo Uingereza.
Tukumbuke kwamba kulikua na kawivu flani ndani ya moyo wa Wema Sepetu ambae ni mchumba wa Diamond Platnumz, ni baada ya stori kuenea kwamba Diamond alitoka kimapenzi na Msanii wa Kenya Victoria Kimani kipindi kile walipoenda kufanya nyimbo ya Cocoa na chocolate iliofanyika nchini South Afrika iliofanywa na wasanii tofauti kutoka Afrika. Baadae Victoria kimani alitua nchini Tanzania kiufanya nyimbo ya Prokoto aliomshirikisha Diamond Platnumz na Ommy Dimpoz,... nyimbo imetoka hata wiki haijamaliza.....

UKWELI NI UPI SASA
Diamond  na iyaya wanashoot video ya nyimbo mpya ya Diamond aliomshirikisha Iyaya ushahidi kupitia Video Director wao 


Diamond Platnumz pamoja na Ommy Dimpoz wameenda kushoot video ya Prokoto waliofanya na Victoria Kimani, 

Haya bibie Wema Sepetu yeye ataki picha hata moja itoke ya Diamond akiwa na Victoria Kimani kwa maana itaendeleza kuzua maneno na kumuongezea wivu.... wakati ommy dimpoz alipoweka picha ya yeye na Diamond wakiwa pamoja bibie wema sepetu alifika na kuandika maneno haya na kuweka viemoji vya hasira.. huku mashabiki wakimpoza kwa kumwambia huto ibiwa.....

Baada ya bibie wema sepetu kuweka maneno hayo ndipo hapo Ommy Dimpoz alikuja kuondoa shari na kupeleka mazungumzo faragha.. Ommy alijibu hivi...


HUYO VICTORIA KIMANI YUPO WAPI
Sasa wakati maandalizi ya kushoot yanaendelea, na upigaji picha ukiendelea hii ndio picha iliomuonesha Victoria kimani...


Majibu kamili yatatoka wakiamua ila suprise imebuma kidogo..... haha... aya Diamond na Ommy watafanya show jijini London aya tufige kwa wingi....
Share on Google Plus

About Blog Ya Vijana

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad