.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

CHEKI RIHANNA ALIVYO MWAGA SIFA ZA MSAANI WIZ KID WA NIGERIA

Siku kadhaa baada ya Rihanna kuweka wazi kuwa anamzimia mchezaji wa Ghana, Kevin-Prince Boateng, ameonesha kukikubali kipaji cha mwimbaji wa Nigeria Wizkid. 


Wizkid ameeleza jinsi alivyosifiwa na Rihanna wakati akiwa studio anafanya kazi huko Marekani kwa kuandika kwenye akaunti ya Twitter.
 


 Wizkid ni rafiki wa karibu wa Chris Brown na tayari wameshafanya kazi. Mbali na Rihanna, Karrueche Tran na Justin Bieber walionesha kumkubali Wizkid.
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad