.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

UNAAMBIWA HUYU NDIO MPENZI MPYA WA CMB PREZZO

pREZZOCMB


Rapper  CMB Prezzo kutoka  Kenya ambaye pia alishawahi kutembea na wasichana maarafu kama marehemu Goldie, Diva, Huddah na hata Chagga Barbie ambao wote hao alitoka nao kwa muda wa mwaka mmoja.Lakin kuna tetesi zinazovuma kupitia socialnetworks rapper huyo ana mpenzi mwingine


Msichana huyo aliachia picha wakiwa pamoja na Rapper huyo na kuandika maneno haya  “Less than 24 hrs and it feel like a decade #QueenWithTheCrown.”

Picha yenyewe ndio hii hapa

Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad