.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

HICHI NDIO KILICHOTOKEA BAADA YA WEMA SEPETU KUKUTANA USO KWA USO NA MAMA YAKE DIAMOND



Mara kadhaa mama Wema Sepetu alikaririwa akisema hamkubali Diamond kuwa katika uhusiano na mwanae. Na kwa upande mwingine habari zilidai mama Diamond hamkubali Wema bali anamkubali VJ Penny. 



Sasa basi jana ilikuwa ni birthday ya mama Diamond ambapo Wema ameweka picha katika mtandao mmoja wa kijamii akiwa amekumbatiana na mama Diamond kuonyesha kuwa hakuna ugomvi tena kati yao..... 



Picha hizo ziliambatana na ujumbe huu: 



"today is this amazing woman's birthday...naanzaje kutokumpenda na kumtakia kila lenye kheri mama'ngu kipenzi ...Mungu akutangulie mummy....akuweke na azidi kukufungulia milango ya baraka mzaa chema wangu.....love you mama'ke"
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad