SHILOLE: MNASEMA NUH MZIWANDA NI MDOGO " MNAKUWEPOGI CHUMBANI MUONA UDOGO AEK" SOMA ZAIDI HAPA.
Shilole yuko ‘crazy In love’ ndio sababu haoni shida kulilinda na kulitetea penzi lake na boyfriend wake msanii Nuh Mziwanda, licha ya kushambuliwa mara kwa mara na mashabiki kupitia mitandao ya kijamii kuwa amempita umri.
Shishi Bybee ambaye weekend iliyopita alizindua video ya wimbo wake ‘Namchukua’ aliyofanya Kenya, ameamua kuwapa makavu live wote wanaomsema mpenzi wake Nuh kuwa ni mdogo kwake, hiki ndicho alichowajibu kupitia Instagram.
Shishi Bybee ambaye weekend iliyopita alizindua video ya wimbo wake ‘Namchukua’ aliyofanya Kenya, ameamua kuwapa makavu live wote wanaomsema mpenzi wake Nuh kuwa ni mdogo kwake, hiki ndicho alichowajibu kupitia Instagram.
0 comments :
Post a Comment