Luis Suarez atavaa kiatu kipya hiki cha addidas f50 kwa mara yakwanza Barcelona itakapo cheza na Ray Vallecano weekend hii (jumapili 8/3/2015)
Sio ajabu Luis Suarez kushangaza Dunia. Mshambuliaji huyu wa klabu ya Barcelona yupo tayari kufanya hivyo tena weekend hii, inawezakana kikawa kiatu bora zaidi cha mpira kuwahi kutengenezwa.
Kampuni ya addidas f50 imeipa kiatu hicho jina la 'Love/Hate' (Penda/Chukia), uzuri wa kiatu hicho ni michoro (Tatoo) tofauti kila upande
Kwa mujibu waliotengeneza kiatu hicho wanasema, design hio ina ashiria ya "Ubunifu na Kujieleza kwamba ni wachezaji wazuri tu ndo wanaweza"
Kiatu kilichopewa jina la Love/Hate chenya michoro ya miongozo tofauti. Michoro ya Kulia ni tofauti na Kushoto
Picha zaidi shuka chini
Luis Suarez atakua mchezaji wakwanza Duniani kuvaa kiatu cha aina hii
0 comments :
Post a Comment