Jana 10/3/2015 Mshambuliaji wa Arsenal, Danny Welbeck alifunga goli lake lakwanza katika kiwanja cha Old Trafford tangu January 2014. Hili ndo lilkua goli lake lakwanza kwenye mashindano ya FA katika kiwanja cha Old Trafford
Mchezaji wa Manchester United Di-Maria akipokea kadi nyekundu baada ya kupewa kadi mbili za njano, kadi ya njano yakwanza alipewa dakika ya 76 baada ya kujiangusha kisha kadi nyingine dakika 77 iliofatana na kadi nyekundu ni baada yakumsukuma refa
0 comments :
Post a Comment