.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

List ya Mastaa ambao hawakupendeza Usiku wa Tuzo za Watu 2015



Usiku wa Ijumaa (22/5/2015) story mitandaoni na kila sehemu ilikuwa kuhusu Tuzo za Watu 2015 (shukrani kwa bongo5 Media) kuandaa Tuzo ambazo zinafanyika kwa mara ya 2 tangu zianze mwaka 2014. 

Ukiongelea Washindi wa Tuzo za Watu basi ni asilimia 100 wamepata tutokana na kura za watu, Tuliweza kushuhudia washindi wa 2015.

Nimekuletea list ya mastaa waliovaa off point katika usiku huo.  (Bofya Hapa kuona mastaa makiume waliopendeza zaidi
(Bofya hapa kuona mastaa wakike waliopendeza zaidi) pale Hyatt Hotel jijini Dar es salaam.

Ukiongelea kuwa Off Point, yani kama staa uwezi kufika katika tuzo kubwa nchini ukiwa umevaa mavazi tofauti na muonekano wa Tuzo.

"Siku hizi wabongo wanaanza kuelewa maana ya red carpet japo walovaa slipers na flat-shoes hope next time hawataharibu picha." aliandika shabiki.


  • 1   John na Mubah 

Co-Hosts wa MkasiTv show, John na Mubah walishuhudia usiku wa Tuzo za Watu 2015 na kuondoka na tuzo ya Kipindi cha Tv kinachopendwa, unaweza kuona jinsi ilivyokuwa siku nzuri, ila sijui kama hawakupanga kuja au waliamua kutoka simple ila sio kwa flat-shoes ... 

IMG_0509




  • 2  Ben Pol


Msanii na Hit Maker wa nyimbo ya 'Sophia'  Ben Pol alikuwa mmoja wa mastaa walioweza kushuhudia Tuzo za Watu 2014 na 2015, ila kwa 2015 Benpol alipatwa na mteremko kwa utofauti wa vazi lake kulinganisha na misimu miwili ya Tuzo za Watu aliofika. Alivaa simple sana mpaka akapitiliza. Tulifurahi kukuona Benpol au alicheewa kupata ticket
Nisher na Ben Pol
Ben Pol Tuzo za Watu 2014
IMG_0513
Ben Pol Kushoto (Tuzo za Watu 2015)



  • 3   Ambwene Yesaya (A.Y)

Mwanamuziki anaetamba na ngoma ya 'Zigo', A.Y alifika katika usiku wa Tuzo za Watu 2015 na kupata picha katika redcarpet kabla ya Interview.  
AY alivaa simple sana (Shirt + Jeans + Casual Shoes) = Off Point

Stacey Francis "Honestly I am a true fun wa AY but men I don't like this photo of 
yours, U dont seem like a star. Ulivyodress up yan like unaenda kijijini kwenu na 
umesimama kama unapiga passport utafikiri umeambiwa mguu pande. Be a star bwana 
our eyes on you remember! Just take an example from your fellows, Joh makini, Ommy dimponz n others."

IMG_0597


  • 4   King Majuto

Mchekeshaji maarufu nchini ambae pia ameingia kwenye list ya kushuhudia Tuzo za Watu kwa mara ya Pili huku akipata mteremko wa vazi kulinganisha na vazi la Tuzo za Watu 2014.

   IMG_0149
Tuzo za watu 2014                                                      Tuzo Za Watu 2015

  • 5   Wakazi
Meneja wa Lady Jay Dee na Mwanamuziki, 'Wakazi' pia alifika katika Usiku wa Tuzo za Watu 2015 na kuvaa very simple na kuingia katika list ya mastaa ambao walivaa off-point.
IMG_0327

Niandikie List yako Ungempa nani 1 - 5...?

 (Bofya Hapa kuona mastaa makiume waliopendeza zaidi

(Bofya Hapa kuona mastaa wakike waliopendeza zaidi)






Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad