.

.

SHOP HERE

News
Loading...

.

.

.

shop now

ANGALIA WALICHOKUA WANAFANYA WACHEZAJI WA BRAZIL KABLA YA MECHI YAO NA SOUTH AFRICA

Wakiwa makini wakiangalia mashindano yakiwa yanaendelea

Wachezaji mpira huwa wanaboreka sana pindi wakiwa kwenye vyumba vya kwenye hoteli wanazofikia wakiwa wameenda kwenye mechi za ugenini, hii imedhihilishwa na wachezaji wa brazil kama neymar, David Luiz na Oscar walipoamua kuanza kucheza game ya mpira FIFA 14 wakijaribu kuondoa hali ya kuboreka siku ya Jumanne usiku huko South Afrika ambapo walikua na mechi ya kirafiki zidi ya South Afrika. 
hayo ndo makundi katika mashindano hayo

Katika usiku huo wa Jumanne Neymar alionekana kuwa ndio bingwa wao baada ya kupiga picha na kuweka katika akaunti yake ya instagram kuwajulisha mashabiki wake juu ya matokeo ya game waliokua wakicheza. 
Hivi ndivyo Mashindano hayo yalivyokua yanaendelea

Katika mashindano hayo Oscar ambae anakipiga katika klabu ya Chelsea alimchakaza goli 3 kwa 1 Paulinho anaekipiga katika klabu ya Tottenham, huku Luiz ambae pia ni anacheza katika klabu ya chelsea hakubahatika kupata goli hata moja kwenye mechi zake mbili alizochezesha akiwa amepigwa goli 1 na mshambuliaji wazamani ya manchester city Jo, huku akiwa ametoka sare ya 0-0 na mshambuliaji Hulk.
hali ya David luiz mara tu baada ya kutolewa kwenye mashindano hayo

Baada ya michezo 12 kuchezwa ikijumuishwa ushindi wa Oscar, Fred, Neymar na kipa wa Toronto Julio Cesar.
Mshambuliaji wa Barcelona Neymar aliendeleza ushindi kwenye mashindano hayo baada ya kushinda goli 1 zidi ya fred ambae alimchapa oscar katika nusu fainali

Neymar mwenye miaka 22 aliweka picha katika akaunti yake ya instagram na kuji nadi kuwa yeye ndio bigwa ya mashindano hayo, huku David Luiz akiweka video ikionesha wachezaji wa Brazil walivyokua wakimzomea hulk kwa kushindwa kufanya vizuri katika mashindano hayo
Share on Google Plus

About feisal pinto

Computer Application Student, Author, Short Stories Writer, Business Proposal Writer, Presenter and Application Builder. Email feisalpinto4@gmail.com for complains and business only.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment

ad