mashabiki wameshuhudia vipigo vitano ndani ya kiwanja cha nyumbani(Old Trafford) tangu Moyes ambae alikua kocha wa zamani wa Everton kubeba mikoba ya Sir Alex Ferguson wakati wa majira ya joto ila Moyes ameweka ahadi ya maendeleo.
Hii ndio Barua ya wazi ya Moyes kwa klabu ya manchester united
"Nilivyokua nachukua kazi hii nilijua itakua na changamoto nyingi sana, Msimu huu mgumu niliopitia sio kitu ambacho nilitegemea, pia na uhakika hata mshabiki hawakutegemea na wachezaji wangu, na wafanyakazi pia tupo tayari kufanya kitu ili kuweza kujaribu kuweka sawa
"Mlishazoea kuona Manchester united yenye mafanikio na support yenu mliokua mnaendelea kuwapa wachezaji na mimi katika msimu wote ulikua unatupa moyo."
"Mashabiki waliokua wanasafiri tukiwa na mechi za nje mmeendelea kuwa pamoja na sisi pia tulipokua Old Trafford uwepo wenu ulikua unaonekana na bado tuna wajali"
"Kushabikia timu yako pindi inaposhinda ni jambo raisi sana ila ni ngumu wakati ipo katika wakati mgumu, ila kwa upendo mlionesha kipindi hiki umekua mzuri sana."
"Tuta hakikisha tunapiga hatua kubwa kubadilisha Old trafford kama ilivyokua inajulikana zamani, na tatafanya kila kitu kwa nguvu zetu ili kuweza kupata matokeo mazuri, ili tuweze kuwapa chakusema mashabiki wa timu yetu."
0 comments :
Post a Comment